Saturday, August 30, 2014

Mzee wa Mombo hakikata mitaa.

 mkazi mmoja wa Mombo halikuwa akimwambia huyu mzee vipi mzee mbona mchana mchana humebeba hiyo silaha kulikoni?kama Unavyojua tena wakazi wa Tanga kwao ni heshima tu ndio imetawala,lakini mzee alimjibu hapa ni Usalama tu,

No comments: