Ajali hainamwenyewe na hili ni janga letu wote,hakuna kitu kibaya kama kulaumu, wakati jambo limesha tokea,tunachotakiwa kujifunza kuwa wamoja kwa kila jambo,maana tunajua tunacho kifanya,tukiwa na tabia kila mmoja ni mlinzi wa mwenzie hii hinaweza kutusaidia Baazi ya matukio kupungua.










No comments:
Post a Comment