Sunday, August 17, 2014

hii ndio Moshi,

Usishangae utakapo fika  MOSHI Mkoa wa Kilimanjaro
Biashara kwao ndio Utamaduni ndio maana kijana kama huyu anauza magazeti,hapa ni Stendi kuu ya Moshi Umeshawai fika Moshi, Nipazuri sana na watu wake niwakarimu na wapenda maendeleo,  niwachapa kazi na wenye Tabia ya kusaidiana  Mkoa huu huna makabila maharufu  WAPARE,WACHAGA.
















 

No comments: