Sunday, October 4, 2015

Kamanda wa Polisi  Jafari Mohamed  amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Asema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema mh.MTIKILA amefariki saa 12 kasorobo asubuhi katika kijiji cha Msolwa, Chalinze.

Amesema gari lililokuwa limempakia lilikuwa linatokea Morogoro na kwamba walikuwa watu wanne ambapo wengine watatu wamejeruhiwa vibaya.

Majeruhi wamekimbizwa katika Hospitali ya Tumbi.

No comments: