Saturday, May 23, 2015

                                                    Walemavu Wakaa Barabarani
 mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akiongea na Walemavu walio kuwa wameleta mshangao kwa watu Baada ya kukaa katikati ya Barabara ya Kawawa na Uhuru  Mjini Dar es Salaam ILALA siku  ya Tarehe 21/05/2015  walemavu hawa walidai kuwa sababu ya kukaa Barabarani hili waweze kufikisha ujumbe wao kwa wausika Baada ya kubomolewa Vibanda vyao vya Biashara wataishi vip.


No comments: