hawa ndio walichukua fomu ya kutia nia ya kutaka kuingia katika kinyakanyiro cha kugombea Uraisi
kwa mwaka huu kati ya wagombea 42 mpaka sasa.
Nakumbuka maneno ya Baba wa Taifa Juliasi kambarage Nyerere alisema
,Nawaambia nyote si chama tawala na wala si chama pizani kuweni makini
katika kumteua mgombea Uraisi
amesema Msisubutu kumchagua mtu
mnaye mtaka nyinyi hasa chama tawala maana mkifanya hivyo mnaweza kutoa
machozi na yakakosa mtu wa kuyafuta machozi hayo,nawaambia muhuteue mtu
ambaye anakubalika Nje kwa Wananchi na Ndani na hio ndio kinga ya
Usalama katika Chama na Taifa kwa Ujumla.





No comments:
Post a Comment